Featured

NICK MINAJ AANIKA SIFA ZA MWANAUME AMTAKAYE BAADA YA KUTEMANA NA MPENZI WAKE!!!

Baada ya kutengana na mpenzi wake safaree Samuels, Hitmaker wa nyimbo ya ‘Anaconda’ Nick Minaj ametaja vigezo vya mpenzi atakayekua naye kwa sasa.

Alisema moja ya vigezo anavyovitaka ni kupata mpenzi atakayekubali umahiri wake katika kazi zake na kuheshimu anachofanya.
“Nataka mwanaume atakayeheshimu na kuthamini uwezo wangu wa kufanya kazi.”alisema Nick Minaj.

Rapa huyo mwenye miaka 32 ameamua kuwa wazi baada ya kuvunjika kwa uhusiano wake na mpenzi wake Safaree uliodumu kwa miaka 12 na anahitaji umakini katika ufanyaji wake wa kazi.

 
Katika majibizano yake na mtangazaji Elliot Wilson alisema “Nimepoteza sehemu kubwa ya maisha yangu kwa kuachana na Safaree na sababu mojawapo nilikua busy zaidi na kazi ”
“Labda wanahitaji uangalizi zaidi na nilikua najali zaidi familia yangu,,sasa ni kazi yangu kuchagua kazi ama mapenzi.”alisema 
Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka: BONYZA HAP CHNI
During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip KUJUA SEHEMU 12 ZINAZOMPA RAHA MWNAMKE WAKATI WA TENDO BONYZA HAP CHNI
Newer Posts Older Posts
© Copyright RAHA ZA MAPENZI Published.. Blogger Templates
Back To Top