Featured

HAYA NDIYO MADHARA YA KUKU WA KISASA...SOMA HAPA=>

Kwa muda mrefu watu wengi amekuwa wakiwafakamia kuku hawa pasipo kujua madhara yao. 
Je umewahi kujiuliza na kutafakari madhara ya ndege hawa watamu??? Yatambue madhara yake hapa. 
Kuku hawa tofauti na kuku wa kienyeji hukua kwa haraka sana kutokana na vyakula vya kemikali nyingi walishwazo.ndani ya miezi miwili kuku hawa huwa tayari kwa kitoweo tangu watotolewapo.tena hutotolewa kwa mashine. 
wakati kuku wa kienyenj huchukua hadi miezi nane kuwa tayari kwa kitoweo,na hutotolewa na mama
zao.MADHARA YAKE NI HAYA. 
Kwa watoto kukua kwa haraka na kupevuka kimaumbile mapema mno.Kwa Wakubwa;wanaume kunenepa sana na kuota matiti kama wanawake.Kwa wanawake;kuota ndevu kama wanaume,kuwa na vipara kicchwani,na miili legelege kwa wote.

soma hapa habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya Tarehe 25 May 2015==>>












Nyumba Anayoishi Ali Kiba Yazua Utata..Yadaiwa si yake Bali Kapewa Kuishi tu na Mrembo Amazing Anayeishi Singapore.soma zaidi hapa=>




Mjengo anaoishi mkali wa Bongo Fleva anayetamba na ngoma yake ya Chekecha Cheketua, Ali Saleh Kiba uliopo Kunduchi-Mbezi Beach jijini Dar, unadaiwa kuzua utata mkubwa hivyo kulilazimu Risasi Jumamosi kuchimba na kubaini kuwa nyumba hiyo si ya msanii huyo bali amepangisha.

Awali, Kiba alikaririwa akisema kuwa, mjengo huo wa kifahari ni wa ndugu yake aliyepo nje ya nchi ambaye alimpa ili aishi na ndugu zake (wa Kiba) wakati yeye (mmiliki) akiwa hayupo.Siku kadhaa mbele, baada ya Kiba kuvamiwa nyumbani hapo na watu kupora vitu huku akinusurika kuuawa, jamaa huyo alikaririwa redioni na kwenye mitandao ya kijamii akisema kuwa nyumba hiyo ni yake.

Ilidaiwa kwamba, mara tu baada ya Kiba kutangaza kumiliki nyumba hiyo, ilidaiwa kuwa aliibuka mwanamke aliyetajwa kwa jina moja la Mariana ikisemekana eti ndiye mmiliki halali wa nyumba hiyo.Madai mazito yaliendelea kushushwa kwamba, Mariana, akiwa mwandani wa Kiba ndiye aliyemuweka Kiba aishi kwenye nyumba hiyo wakati yeye (Mariana) kwa sasa anaishi nchini Singapore barani Asia.

“Ninyi mnasema ule mjengo ni wa Ali (Kiba)? Acheni hizo, kwa taarifa yenu hiyo nyumba kapewa na mrembo f’lani hivi amazing, anaitwa Mariana, ni Mbongo anayeishi Singapore.

“Muulizeni huyo Kiba awaambie ukweli,” kilisema chanzo chetu kikisisitiza: “Hata Mariana aliposikia eti nyumba ni ya Ali (Kiba) alishangaa na akamaindi ile mbaya hivyo kwa sasa sidhani kama wanaelewana kwa ajili hiyo.”

Baada ya kukutana na mkanganyiko huo, gazeti hili lilimtafuta Kiba ambaye alikiri kwamba kweli nyumba hiyo siyo yake bali amepangisha huku akikana kusema kuwa anaimiliki.Alipoulizwa juu ya madai ya kupewa nyumba hiyo na mwanamke aitwaye Mariana, Kiba alisema hayo ni maneno tu kwani anachojua yeye amepangisha.

“Kwanza hebu nitumie picha nijue ni nyumba gani?” aliomba Kiba ambapo alitumiwa picha kwa WhatsApp ndipo akajibu:
“Okey, kama ni hiyo nimepangisha lakini siyo kwamba sina nyumba.”

Wachaga Wamegawanyika Kama ifuatavyo, Na Sio Wote ni Wajanja...soma hapa==>>



Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-
1. Warombo wajanja sana kibiashara/wezi pia, wameajiri Wamarangu mjini ni walevi sana hupeleka wake zao vijijini wakileta kiburi mjini. Wanawake zao ni mama Huruma, wanaachia tu.. Ukioa mrombo ujue umeolea kijiji.

2. Kuna Wamarangu wazuri sana wa sura na umbo wanawachuna Warombo. Wanawake wana dharau sana na wanaume ni waoga kuliko wanawake. Mwanaume wa Marangu kupigwa na mkewe si jambo la ajabu.

3. Kuna Wakibosho wanafanana na Warombo lakini ni wavumilivu zaidi. Biashara kubwa wanayofanya ni ya kuchinja... wengi wanamiliki mabucha. Wana hasira sana na ni wakatili.. Akikuchoma kisu, siku ya mazishi anakuja kudai kisu chake.

4. Kuna Wamachame hawa ni wezi sana, ukifanya nae dili umeliwa, niwasiri sana, anaweza kukuua huku akitabasamu, sio waaminifu sana lakini huenda kanisani mara nyingi zaidi kuliko Wachaga wote. Wanawake wa machame wanaitwa 'Wapalestina'.. Mume ukitajirika mkeo anakuua ili arithi mali.

5. Kuna Wauru, hawa hupenda kusoma sana lakini hawapendi maendeleo kabisa, wanawake wakifikisha umri wa miaka 40 hua wehu na wanaume huwa vichaa mapema zaidi. Wanaume ni wavivu, wanawake ni wachapakazi hodari. Wanazurura mjini na mabeseni wakiuza ndizi mbivu.. Ukioa Uru jiandae kulea kichaa.

6. Kuna Wakirua, wanapenda sifa kama Wahaya. Wanawake wa Kirua ni wachawi kupindukia.. Wanaloga hata jiwe ili tu alikomoe.. Wanaume wao hawaoi kwao.. Hawapendi kuishi mjini maana wanaogopa gharama.. lakini siku wakija mjini watatu tu utadhani wako mia.

7. Kuna Wa-old Moshi. Hawa ni mafundi stadi wa ujenzi wa nyumba, japo hawajengi kwao. Mpaka leo hamna daladala ya kwenda Old-Moshi kuanzia Moshi mjini, maana ni wabishi kulipa nauli na pesa inaishia kwenye mbege njiani. Wanaume wamezoea kutoka nyumbani saa kumi na moja alfajiri na kurudi saa sita ya usiku kwa miguu.!

USHAIONA HII NI KALI YA MWAKA!! ONA MTOTO ALIVYOWEKWA KWENYE BEGI NA KUSAFIRISHWA KAMA MZIGO==>>



Mtoto mmoja wa miaka minane amesafirishwa hadi nchini Uhispania kutoka Morroco akiwa ndani ya sanduku kwa mujibu wa maafisa wa polisi wa Uhispania.




Mvulana huyo kwa jina Abou alipatikana ndani ya sanduku hilo lililokuwa limebebwa na msichana wa miaka 19 kuelekea Cueta,eneo lililo karibu na taifa la Morocco siku ya Alhamisi.
Wakati polisi walipolifungua sanduku hilo, mvulana huyo alikuwa katika hali mbaya sana.Mvulana huyo kutoka Ivory Coast sasa anahudumiwa na mamlaka ya Cueta.Gazeti la Uhispania El Paris liliripoti kwamba msichana huyo wa miaka 19 hana uhusiano na mtoto huyo na kwamba alilipwa na babaake ili kubeba sanduku hilo.Babaake mtoto huyo anaishi katika visiwa vya Conary na kwamba alitarajia kuonana namwanawe kulingana na gazeti hilo.
Chombo cha habari cha Uhispania Efe kimesema kuwababaake mvulana huyo ambaye anajulikana kama Abou alisafiri hadi nchini IvoryCoast kumchukua mwanawe baada ya kuhamia katika eneola Gran Canaria mwaka 2013.Babaake baadaye aliripotiwa kumlipa raia huyo wa Morocco ambaye alimsafirisha mtoto huyo kupitia sanduku.Msemaji wa polisi aliiambia Efe:''Alionekana kusita na kama ambaye hakutaka kupitia mpakani''.
Via>BBC ..

MCHINA IRINGA ACHEZEA KICHAPO KWA KULAZIMISHA PENZI KWA MKE WA MTU.......SOMA HAPA



Mchina  akichezea  kichapo kwa kumshika mke wa mtu maziwa mjini Iringa 

RAIA  mmoja  wa Kichina ambae  jina lake  halikuweza  kupatikana mara  moja anayesadikika kuwa ni mmoja kati ya mafundi katika ghorofa  moja  mjini Iringa amejikuta akichezea  kichapo kutoka kwa  njemba mmoja ambae  alikuwa ameongozana na mke  wake  baada ya mchina  huyo kumshika maziwa mwanamke  huyo akimtaka mapenzi  mbele ya mumewe .

Tukio  hilo  lililofananishwa na udhalilishaji kwa  wanawake  lilitokea jana majira ya saa 2 usiku katika  eneo la stendi ya  daladala  za Mkwawa  kata ya Miyomboni mjini Iringa.

Kutokana na  kitendo hicho  cha aibu alichokifanya mchina  huyo mume wa mwanamke huyo alikosa  uvumilivu na bila  kujali kuwa  wachina ni wataalam  wa kareti alimvaa mchina  huyo na kumpiga mtama uliopelekea  kuanguka  chini  na  kuwafanya  vijana  wapiga debe eneo hilo kuanza  kumshambulia kwa kichapo  bora  mradi   wamepigana na mchina .


Vijana  wakimpa kichapo mchina  huyo 

Mashuhuda wa  tukio  hilo  waliueleza mtandao huu wa matukiodaima.co.tz  uliofika kwa wakati  eneo la  tukio  kuwa mchina  huyo alikuwa akitoka katika eneo la jengo  wanalolijenga  lililopo jirani na stendi hiyo na baaada ya kufika eneo hilo la Stendi alikuta  watu  wengi  wakiwa  wanasubiri usafiri wa daladala kwenda  Mkwawa na Ilala na bila   aibu mchina  huyo alimsogelea mwanamke  huyo ambae  pembeni alikuwa na mume  wake na kumshika maziwa  yake  mfano  wa kumtaka penzi kwa  nguvu jambo ambalo  lilimfanya mwanamke  huyo  kupiga  kelele  huku mchina  huyo akimsemesha  kichina ambacho hakuna  aliyejua anazungumza  nini zaidi ya  kutambua  ishara za  mikono ambazo mchina  huyo alikuwa akionyesha  kuashiria kumwita . 

Hapa  akionyesha  eneo lake la kazi 
.........................................................................

Kichapo  kikali alichokipata  mchina  huyo ambae  muda  wote  alikuwa akilalamika kwa  kilio  cha  kichina  ilimfanya mmoja kati ya askari anayeendesha  biashara  zake eneo hilo anayetambulika kwa jina moja la Rashid  kufika  kunusuru ugomvi  huyo na baada ya kutamkiwa  Polisi mchina  huyo alipiga magoti na kuonyesha  ishara za kutubu kosa na askari  huyo alisikika akisema umefanya kosa  huwezi mshika mwanamke maziwa hadharani na  kuachiwa .

Hata  hivyo imedaiwa  kuwa ni  tabia ya mchina  huyo na  wenzake wanaofanya kazi katika jengo  hilo kunyanyasa wanawake na kuwavunjia heshima  zao mbele ya  hadhara  kiasi cha baasi na maeneo ya  pombe vidanda vya UVCCM kiasi cha  kupigwa marufuku kuingia katika baadhi ya vibanda

MFAHAMU MWANAMKE MWENYE NDEVU NDEFU KULIKO WOTE NA ANATISHIWA KIFO KWA AJILI YA NDEVU ZAKE


Harnaam Kaur, mwanamke mwenye umri wa miaka 23 anayeishi katika mji wa Slough, Kusini Mashariki mwa Uingereza amepokea vitisho vya kuuawa kutoka kwa watu asiowafahamu kwenye mitandao kwa sababu ya ndevu zake nyingi zinazomfanya asitofautishwe kirahisi na mwanaume.
Mwanamke huyo ambaye anakabiriwa na tatizo la kuwa na vinyweleo vingi kupita kiasi, tatizo linalojulikana kitaalamu kama ‘polycystic ovary syndrome’, ameeleza kuwa alianza kupata tatizo hilo akiwa na umri wa miaka 11 na kwamba alikuwa akizinyoa mara mbili kwa wiki.

Ameeleza kuwa alipokuwa shuleni alikuwa akionewa sana kwa kuitwa majina mengi ya kejeli kama ‘jike dume’, na kwamba alikuwa anashindwa hata kuwaangalia watu usoni na alipotoka shule alijifungia ndani siku zote asionekane mara kwa mara.
Ameongeza kuwa kutokana na kuishi katika hali hiyo alifikia hatua akafikiria kujiua.

Hata hivyo, Harnaam amesema kuwa amejiunga na dini ya Sikh na kubatizwa, na kwamba imani ya dini hiyo hairuhusu watu kunyoa vinyweleo vyao kwa kuwa Mungu ndiye aliyewaumba hivyo. Kwa hiyo ameziachia nywele zake na sasa anaonekana kama mwanaume akiwa na nywele nyingi kidevuni, mikononi na kifuani.
Imani hiyo imempa ujasiri zaidi juu ya muonekano wake, na anajiona mwanamke mwenye mvuto zaidi.

“Nahisi nimekuwa mwanamke zaidi, nina mvuto zaidi na nadhani naonekana hivyo pia. Nimejifunza kupenda jinsi nilivyo na hakuna kitakachonitikisa sasa hivi.” Amesema Harnaam.
“nawezza kwenda kwenye maduka ya wanawake bila kuhisi kuwa sitakiwi kuwa kule. Navaa skirts, gauni na vidani na napenda kutengeneza kucha zangu kama msichana mwingine yeyote

Kumbe Utamu wa Mwanamke Unaweza Kusababisha Kifo Ndani ya 6x6....soma hapa



AFARIKI DUNIA KWA KUZIDIWA UTAMU WA MAPENZI.


Kijana mmoja nchini Malawi Fletcher Jere (26) amefariki dunia kutokana na kuzidiwa utamu wakati akifanya ngono na kahaba mmoja mjini Blantyre.

Gazeti la Daily Times nchini Malawi limeripoti kuwa kijana huyo alinunua kahaba huyo maeneo ya Ndirabe katikati ya jiji la Blantyre.

Afisa wa Polisi mjini Blantyre Bi.Edina Ligowe amesema Jerre alikufa kutokana na kuwa na hisia za juu sana pamoja na kuhisi utamu uliopitiliza wakati akifanya ngono na kahaba huyo (sexual excitement and sweetness).

Aidha Afisa huyo amesema kuwa kahaba huyo hatafunguliwa mashtaka yoyote kwa sababu hakuna kosa alilofanya kwa yeye kuwa mtamu kupitiliza.

Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unataka kuimarisha mishipa yako ili uweze kwenda Raundi mbili na kuendelea??....korodani za beberu zipo kwa ajili yako Bofya hapa ukutane na JIKO


Ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume ni ile hali ya mwanaume kutokuwa na uwezo wa kukamilisha tendo la ndoa kwa ufasaha.
 Tatizo hili linawakabili mamilioni ya wanaume duniani na limekuwa na athari nyingi kama vile kuvunjika kwa mahusiano na hata ndoa.
Mwanaume mwenye tatizo la ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume anakuwa hana uwezo wa kumtosheleza mwanamke kwenye tendo la ndoa.

DALILI ZA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME

Mwanaume anayekabiliwa na tatizo la ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume huonyesha dalili zifuatazo:-

1. Kutokuwa na uwezo wa kusimamisha uume wake barabara. Kwa kawaida uume wa mwanaume aliyekamilika (rijali ) unaposimama, hutakiwa kuwa imara kama msumari, lakini kwa mwanaume anaye kabiliwa na tatizo hili uume wake hata ukisimama hubakia kuwa lege lege na huweza kusinyaa wakati wowote. Tatizo hili ni matokeo ya kulegea kwa mishipa ya uume. Mishipa ya uume ndio inayo ufanya uume usimame barabara. 
Mishipa hii inapokuwa imelegea, uume hauwezi kusimama barabara hata iweje. Kulegea kwa mishipa ya kiume kunasababishwa na upigaji wa punyeto kwa muda mrefu. Mtu anaye piga punyeto anakuwa anaiminya mishipa inayo sababisha kusimama kwa uume, baada ya muda fulani, mishipa hiyo huishiwa nguvu na kulegea na hivyo linapo kuja suala la kusimamisha uume, mwanaume huyu anakuwa hana uwezo tena wa kusimamisha uume wake.

Vilevile matumizi ya madawa makali (hususani madawa ya kizungu) ya kuongeza nguvu za kiume, husababisha mishipa ya uume kulegea. Hii ni kwa sababu madawa haya hui-overdose mishipa hiyo na kuilazimisha kufanya kazi zaidi ya kiwango chake.

Matumizi haya yanapokuwa ya muda mrefu humfanya muhusika kuwa tegemezi na pia hufanya mishipa ya uume wa muhusika kulegea na kukosa nguvu.

2. Kukosa hamu ya tendo la ndoa: Hapa mwanaume anakuwa hana uwezo wa kutamani kufanya tendo la ndoa hata anapokuwa faragha na mke wake. Tatizo hili kwa kiasi kikubwa husababishwa na msongo wa mawazo.

3. Kutokuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara moja. Hapa mwanaume akishakamilisha mshindo mmoja wa tendo la ndoa basi anakuwa hana tena uwezo wa kurudia mshindo mwingine. Hali hii husababishwa na kutokuwa na msukumo wa damu wa kutosha kwenye mishipa ya kwenye uume.

4. Kufika kileleni mapema

5. Kutokuwa na uwezo wa kusimamisha kabisa. Hali hii hutokea pindi tatizo la kutokuwepo kwa msukumo wa damu wa kutosha kwenye mishipa ya uume, linapokuwa limekomaa. Na wakati mwingine, hali hii hutokea pindi vyanzo zaidi ya kimoja vya tatizo la kiume vinapo kuwa vimejitokeza kwa mtu mmoja.

6. Uume kusinyaa na kurudi ndani. Hapa uume wa mwanaume unakuwa umesinyaa na kurudi ndani. Uume huu unakuwa hauna uwezo wa kukamilisha tendo la ndoa. Hali hii kwa kiasi kikubwa husababishwa na upigaji wa punyeto kwa muda mrefu pamoja na magonjwa hasa hasa chango la kiume au ngiri.

Tajwa hapo juu ni dalili kuu za tatizo la ukosefu ama/na upungufu wa nguvu za kiume.

CHANZO CHA TATIZO LA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME

Kwa ufupi sana, mambo yafuatayo ndio vyanzo vikuu vya tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume:-

i. Upigaji punyeto wa muda mrefu.
ii. Msongo wa mawazo.
iii. Ugonjwa wa kisukari na shinikizo la damu (pressure).
iv. Kupooza kwa mwili.
v. Kuugua ugonjwa wa ngiri.
vi. Kuugua chango la kiume.
vii. Ulevi uliokithiri.
viii. Kuwa na wasiwasi wa kumudu kutekeleza tendo la ndoa.
ix. Woga wa kufanya tendo la ndoa.
x. Uzoefu wa kukatisha tamaa wa siku za nyuma.
xi. Ulaji mbovu wa vyakula haswa vyenye mafuta mengi/kupita kiasi.
xii. Mazingira yasiyoridhisha wakati wa tendo la ndoa.

ATHARI ZA UPUNGUFU / UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME

Kutokuwa na nguvu za kiume huleta madhara na athari nyingi sana kwa muhusika. Baadhi ya athari hizo ni pamoja na:-

    Kuvunjika kwa mahusiano ya kimapenzi.
    Kuvunjika kwa ndoa.
    Kujiua: Baadhi ya wanaume hufikia uamuzi wa kujiua baada ya tatizo kuwa kubwa na kutumia dawa za aina mbalimbali bila mafanikio.
    Upungufu wa nguvu za kiume huongeza chachu ya maambukizi ya V.V.U kwa wanandoa: Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume linapokuwa sugu, hupelekea rafiki wa kike/ mke wa mwanaume anaye sumbuliwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume, kutoka nje ya ndoa kwa ajili ya kutimiziwa haja zake za kimwili, mwisho wa siku mwanamke huyo huweza kumletea magonjwa mume wake mwenye tatizo la upungufu wa nguvu za kiume pindi wanapokutana kimwili katika hali hiyo hiyo ya kutoridhishana.
    Ulevi kupita kiasi; Wakati mwingine wanaume wanao sumbuliwa na tatizo hili, huamua kuwa walevi kupita kiasi ili angalau kupunguza mawazo.

Kwa ufupi ukosefu/ upungufu wa nguvu za kiume ni tatizo kubwa sana ambalo endapo halitatafutiwa ufumbuzi na muhusika linaweza kuyaathiri maisha ya muhusika kwa kiasi kikubwa sana.

TIBA ASILIA YA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME

Zipo dawa mbalimbali asilia zinazo weza kutibu na kumaliza kabisa tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume. Kati ya tiba hizo, tiba ya dawa asilia ya nguvu za kiume iitwayo “JIKO” imethibitika kuwa na uwezo wa kutibu na kumaliza kabisa tatizo la ukosefu/upungufu wa nguvu za kiume kwa zaidi ya ASILIMIA MIA MOJA (100%)

KUHUSU DAWA YA JIKO

Dawa ya JIKO ni dawa ya a ilia (herbal) inayo tumika kutibu na kumaliza kabisa tatizo la nguvu za kiume pamoja na visababishi vya tatizo hii. Dawa hii haimalizi tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume pekee, bali pia inatibu visababishi ama vyanzo vyote vya tatizo la nguvu za kiume pamoja na side effects zitokanazo na baadhi ya visababishi vya tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume kama vile kujichua kwa muda mrefu.

Dawa hii ni mitishamba kabisa “pure herbal” ambayo haijachanganywa na kemikali yoyote na haina “side effects” kwa mtumiaji.

Dawa hii hutibu na kumaliza kabisa tatizo la ukosefu/upungufu wa nguvu za kiume ndani ya siku thelathini (30).

MFUMO WA DAWA: Dawa ya JIKO ipo katika mfumo wa mizizi.

MATUMIZI YA DAWA: Dawa hii hutumika kwa kuchemshwa na kisha kunywa juisi yake mara mbili kwa siku asubuhi na jioni kwa muda wa siku thelathini.

DOZI YA DAWA YA JIKO: Dozi ya dawa ya JIKO hutumika pamoja na vitu vikuu vitatu :

i. Korodani za beberu.
ii. Korodani za jogoo aliyekomaa.
iii. Unga wa Habbat Sawdah au Unga wa Mjafari au Unga wa Ngano (hapa kama utakosa unga wa Habbat Sawdah ama Unga wa Mjafari unaweza ukatumia unga wa ngano kama mbadala wake).
iv. Karanga mbichi.

MATAYARISHO NA MATUMIZI YA DOZI YA DAWA YA JIKO

i. Dawa ya jiko yenyewe
Chukua dawa yako ya JIKO kisha iweke kwenye sufuria halafu ongeza lita mbili za maji halafu chemsha hadi dawa yako itakapo anza kutokota na kutoa supu. Ipua dawa yako na uihifadhi kwenye chupa ya chai (thermos ). Tumia kunywa vikombe viwili vya dawa yako mara mbili kwa siku, asubuhi na jioni. Utakunywa dawa yako ikiwa ya moto na sio ikiwa ya baridi. Kama itaingiwa na ubaridi kwa sababu moja au nyingine, unatakiwa kuipasha moto. Utafanya hivyo kwa muda wa siku thelathini.

N.B : JUISI YAKO IKIISHA, UTACHEMSHA KIASI KINGINE CHA DAWA NA KUFANYA KAMA HAPO JUU HADI ZITIMIE SIKU THELATHINI

ii. KORODANI ZA MBUZI

Chukua korodani mbili za mbuzi. Zitie ndani ya lita mbili za maji na uchemshe kutengeneza supu . Supu yako ikiisha iva utatumia kula supu yako mara mbili kwa siku asubuhi na jioni. Hapa asubuhi utakula supu yako na kipande kimoja cha korodani na jioni utamaliza supu yako na kipande kingine cha korodani. Unaweza kuweka na pilipili mbuzi kwa ajili ya kuongeza ladha.

Utafanya hivi mara moja kwa wiki kwa wiki nne. Yaani utakula supu mara moja kwa wiki ya kwanza, wiki ya pili utakula supu yako tena, wiki ya tatu utakula supu yako na wiki ya nne utamalizia dozi yako.

HATA HIVYO KAMA UNA UWEZO NA NAFASI UNAWEZA KULA SUPU YAKO YA KORODANI ZA MBUZI KWA MUDA WA SIKU ZOTE THELATHINI ZA DOZI. UKIFANYA HIVI MATOKEA YATAKUWA MARADUFU ZAIDI.

VILEVILE HATA BAADA YA KUMALIZA DOZI YAKO UNAWEZA KUWA UNAKULA SUPU YA KORODANI ZA MBUZI KILA UTAKAPO PATA NAFASI YA KUFANYA HIVYO.

iii. KORODANI ZA JOGOO

Unatakiwa kumeza korodani za Jogoo aliyekomaa zikiwa mbichi. Utameza nzima nzima zikiwa mbichi. Utazimeza pamoja na maji ya moto.

MATAYARISHO

Unatakiwa uwe na vitu vifuatavyo :
i. Jogoo aliyekomaa pamoja na kisu kikali ama mchinjaji wa jogoo.
ii. Unga wa Habbat Sawdah au
iii. Unga wa Mjafari au
iv. Unga wa Ngano.
v. Kisosi au ki-plate.
vi. Glasi mbili za maji ya uvuguvugu.

JINSI YA KUFANYA Chinja jogoo wako kisha mpasue kunyofoa korodani zake. Baada ya kupata korodani za jogoo, ziweke kwenye kisosi au kiplate chenye unga wa habbat sawdah au unga wa mjafari au unga wa ngano kisha viringisha korodani hizo za jogoo kwenye unga huo halafu meza korodani moja baada ya nyingine kwa glasi moja ya maji ya uvuguvugu.

Utafanya hivi mara moja ndani ya hizo siku thelathini za dozi. Unaweza kufanya siku ya kwanza tangu uanze dozi yako au unaweza kufanya katikati ya dozi au hata wakati unamaliza dozi.

N.B: KAMA UNA UWEZO NA NAFASI UNASHAURIWA KUMEZA KORODANI ZA JOGOO KWA WINGI KADRI UTAKAVYO WEZA. UTAPATA MATOKEO BORA ZAIDI. KORODANI ZA JOGOO PAMOJA NA DAWA YA JIKO ZITAKUSAIDIA KUWA NA UWEZO WA KURUDIA TENDO BILA KUCHOKA NA KUKAA KIFUANI KWA MUDA MREFU ZAIDI.

VYAKULA VYA KUTUMIA i. Unashauriwa kutumia kilo moja ya karanga mbichi kila wiki kwa muda wa wiki zote nne za dozi yako. Hii ina maana kuwa kwa wiki zote nne utatakiwa kutafuna kilo nne za karanga mbichi.

N.B : KAMA UTAWEZA KUTUMIA ZAIDI YA KIWANGO HICHO HAPO JUU, LITAKUWA NI JAMBO BORA ZAIDI

ii. Vile vile unatakiwa kula tikiti maji moja kwa wiki kwa muda wa wiki nne za dozi. Yaani wiki ya kwanza ule tikiti moja. Wiki ya pili tikiti moja. Wiki ya Tatu tikiti moja na wiki ya nne tikiti moja, jumla matikiti manne kwa mwezi. UNATAKIWA KUTAFUNA PAMOJA NA MBEGU ZAKE.

KAZI INAYOFANYWA NA DAWA YA JIKO

Dawa ya JIKO inasadia katika mambo makuu yafuatayo:

i. Inasaidia kuimarisha mishipa ya uume ulio legea na hivyo kuufanya uume uwe na uwezo wa kusimama barabara kama msumari wakati wa tendo la ndoa.
ii. Inasaidia kusafisha mishipa ya kwenye uume na hivyo kusaidia katika kuongeza kasi ya msukumo wa damu kwenye mishipa ya kwenye uume.
iii. Husaidia kuongeza msukumo (pressure) wa damu kwenye mishipa ya uume na hivyo kuufanya uume kuwa na nguvu za ajabu.
iv. Husaidia ku-relax mind na hivyo kumfanya mtu awe na uwezo wa kuconcentrate wakati wa tendo la ndoa bila kuathiriwa na msongo wa mawazo.
v. Humfanya mwanaume awe na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara moja bila kuchoka.
vi. Husaidia kuongeza hamu ya tendo la ndoa.
vii. Husaidia kuurudisha nje uume ulio ingia ndani.
viii. Husaidia kutibu side effects za punyeto na matumizi ya muda mrefu ya dawa kali za (za kizungu) za kuongeza nguvu za kiume.
ix. Husaidia kutibu chango la kiume.
x. Dawa hii huwasaidia hata wanawake wanao sumbuliwa na tatizo la ukosefu wa hamu ya tendo la ndoa.


BEI   YA  DAWA : BEI  YA   DAWA   HII NI SHILINGI  ELFU THEMANINI  TU.( Tshs.80,000/=)
  

JINSI YA KUIPATA DAWA 
Unaweza kuja kuichukua ofisini kwetu au kwa wasio weza kufika ofisini kwetu tunatoa huduma ya kuwapelekea dawa mahali walipo.

DELIVERY 
WATEJA WA MIKOANI : Kwa wateja wa mikoani tunawatumia dawa kwa njia ya magari na wale wa Zanzibar tunawatumia dawa kwa njia ya meli.

WATEJA WA NCHI JIRANI : Kenya, Uganda, Rwanda & Burundi tunawatumia dawa kwa njia ya mabasi.

Kwa wateja wa nje ya Afrika : Kwa wateja wa nje ya Afrika tunawatumia dawa kwa njia ya posta au DHL.

Wateja wa SOUTH AFRIKA NA BOTSWANA

Kwa wateja wetu waliopo South Afrika na Botswana tunawatumia dawa kwa njia ya mabasi au posta

UVIVU WAKO NI SABABU YA MWENZIO KUCHEPUKA...soma full story hapa


Kuna watu ambao wamekuwa hodari kujisifu kuwa wao hutoa unyumba kwa ‘kibaba’. Yaani huwapimia wenzi wao. Kwa mitazamo yao, hujiona wapo sahihi. Tabia hii ipo kwa wanawake zaidi, japo kuna wanaume ambao nao ni wagumu kutekeleza mahitaji ya wapenzi wao.Hata hivyo, kuna kitu cha kuweka sawa hapa; Wakati mwanamke anapobana ‘staftahi’ kwa mwenzake, huhesabika ni mchoyo! Kwa mwanaume yeye huonekana ni goigoi. Kwamba mambo hayawezi ndiyo maana hatekelezi shughuli. Ataambiwa ana tatizo la zile nguvu zetu!

Mwanamke anaweza kujisifu hata kwa wenzake. Akiwa kwenye vikao vya kusukana au katika soga nyingine, atajimwagia sifa tele kwamba yeye inaweza kupita miezi bila kuingia uwanjani na mwenzi wake. Hili, linawafanya wanaume wengi wateseke na matokeo yake hutafuta tiba mbadala.


Mwanaume hawezi kujisifu kwa marafiki zake kuwa yeye huwa akisumbuliwa na mwenzi wake, humpa mgongo! Ni wazi akisema hivyo atachekwa. Yaani mwanamke kugomea kutoa unyumba ni ushujaa wakati mwanaume akikataa, atachukuliwa kwamba ana tatizo la kiafya! Dhana hii sikubaliani nayo, kwa hiyo nahitaji kutoa shule!Kwangu mimi, kila aliye mvivu wa kuingia shughulini ana tatizo! Kwa mwanaume na mwanamke, wote wana kasoro ya nguvu, kwa maana hiyo wanahitaji tiba mbadala ili waweze kusherehekea tendo. Wanatakiwa kuboresha mvuto wao katika ndoa au uhusiano na nafasi ya kutekeleza hilo ipo!Ni lazima watu waheshimu uhusiano wao wa kimapenzi. Pia waelewe kwamba moja kati ya vitu vinavyoshikilia penzi lako ni unyumba. Ni wakati muafaka kwako sasa, kuachana na mawazo ya kale. Punguza uvivu na ujue kuwajibika inavyotakiwa, kwa maana ni njia ya kutibu amani yako mwenyewe na mwenzio.

Utafiti unaonesha kwamba asilimia kubwa ya ndoa zinazovurugika kila siku, nyuma yake huwa na shambulio la wanandoa kutopeana huduma ya tendo. Kwamba, wanavumiliana lakini mwisho wa siku, sauti itasikika kwa majirani. Watakapokuwa wanagombezana usiku, siri hugeuka sirini.

Tendo la ndoa, hukamilisha furaha ya wawili walioamua kupendana. Tunapoamua kuacha siasa na kuzingatia ukweli kwa vipimo vyake, watu wengi (hasa wanaume), wanapoingia kwenye uhusiano wa kimapenzi, lengo lao la kwanza ni kutimiza haja zao kimwili kwa mtu husika. Nazungumza kwa utafiti!
Walikutana barabarani, akavutiwa ndiyo maana akaanza misele. Anapofanikiwa, vikwazo vya baadaye, inakuwa siyo matarajio yake. Alichotarajia ni kwamba baada ya kukubaliana kuingia kwenye sehemu yenu ‘spesho’, atakuwa hapimiwi! Kwa kiwango chochote atakachokuhitaji, mwenzi wake atamridhia.

Aghalabu, wapenzi ambao wanajikuta wapo kwenye mgogoro wa tendo, mara nyingi hukabiliwa na tatizo la usaliti. Ni theluthi moja ya wanawake wanaoweza kumvumilia mwanaume ambaye hamtoshelezi kimwili, wakati kwa wanaume ni moja ya kumi tu ndiyo wenye kuvuta subira hadi siku watakapokumbukwa.

“Huyu mbona yupo hivi, kila siku anasema kachoka, atakuwa ana mtu huko nje,” ni kauli ambayo ni rahisi kupita kichwani kwa mwanamke, pale ambapo anakabiliana na mwenzi ambaye haguswi chochote na tamaa za mwili, ingawa inaelezwa kwamba ni moja ya kumi ya wanawake ndiyo hukosa usingizi kwa kunyimwa tendo.

Hili Jimama Litaniua, Kila Akitaka Mambo Anamtoroka Mume Wake na Kuniita Hotelini Nimshughulike...SOMA FULL STORY HAPA


Admin RAHA BONGO Huyu Mama Hapo kwenye Picha Anataka kuniua tu mimi kijana bado mdogo, Nilikutana naye Mlimani City Pale Game alikuwa akifanya shopping na watoto wake wadogo sasa vitu alivyonunua vilikuwa vingi nikamsaidia kuvipeleka kwenye gari lake , akanishukuru na kuniomba number yangu ya simu, sasa kuanzia hapo tukawa tunawasiliana lakini siku zilivyozidi kwenda tukajikuta tunachat mambo ya mapenzi na siku moja tukakutana nikampa dozi 3 za nguvu, sasa imekua shida maana kila week ananitafuta mara mbili nimpe mambo eti anasema mume wake hawezi mambo , kila mara huwa analipia hoteli yeye na kila kitu mpaka vinywaji mimi kazi yangu ni dozi , sasa nimejaribu kumchumguza nimengundua ni Mke wa Mwanasiasa Maarufu hapa Tanzania. Nimeingiwa na Woga nahofia maisha yangu mimi bado mdogo ndio natafuta maisha.. Naomba Ushauri ...

HAWA NDIO WANAWAKE WAZURI SANA NCHINI KENYA.

Kutokana na Uchunguzi uliofanywana mtandao mmoja huko Kenya, umeeleza kuwa Kenya ni moja ya nchi yenye wanawake wazuri sana waliojaliwa, tena baadhi yao ni wafanyakazi katika Vyombo vya habari.



Sasa hapa tunapozungumzia madem ambao wameumbika katika hidara zote ndani na nje huko kenya ni lazima uwataje Madem hawa ambao kila kukicha wamekuwa wakizungumziwa katika vyombo mbalimbali vya habari na kufuatiliwa kwa karibu sana. kutokana tu na Uzuri walionao.

Kwa mujibu wa misemo mingi ya watu wengi kwamba Mwanamke akishazaa ama kupata mtoto, kitu ambacho kinatokea ni kwamba mwanamke hupoteza uzuri na uhalisia wa umbo lake la kawaida. sasa hawa nitakaowataja hapa  ni tayari wameshazaa lakini cha kushangaza ni kuwa Bado maumbo yao yanaongezeka mvuto kila siku!! Kati ya wasichana hao ni pamoja na.

1. Sheila Mwanyigah
\
This lady has been holding it down since the days Before Ghafla and she's still got it like an 8 month pregnant lass!

2. Corazon




3. Avril
Pity she has a taste for South African cooking! That figure? Heh! It makes sense. No questions asked! And if there are any, the answer is Avril's figure! Who is the hottest singer? Avril's figure! Who did God's Chosen Blogger turn to for inspiration? Avril's figure.


5. Grace Msalame


6. Vera Sidika


7. Mumbi Maina


Older Posts
© Copyright RAHA ZA MAPENZI Published.. Blogger Templates
Back To Top