Featured

PAKA WA AJABU: AKUTWA AMESULUBISHWA KWA KUKONGEWA MISUMARI KWENYE MTI: ANGALIA PICHA HAPA===>


Paka mwenye hirizi kubwa shingoni akiwa amepigiliwa misumari juu ya mti uliopo jirani na Msikiti wa kwa Mtawara uliopo Kata ya Mwembesongo, Morogoro.
hali isiyokuwa ya kawaida, paka mwenye hirizi kubwa shingoni akiwa hai alikutwa amepigiliwa misumari juu ya mti uliopo jirani na Msikiti wa kwa Mtawara uliopo Kata ya Mwembesongo mkoani hapa.

Tukio hilo lililokusanya umati mkubwa wakiwemo waumini wa msikiti huo lilitokea alfajiri ya Alhamisi iliyopita ambapo baadhi ya waumini wa msikiti huo walikuwa wamefika msikitini kwa Swala ya Alfajiri.
Baadhi ya waumini wa msikiti huo walipohojiwa na mwandishi wetu walisema alfajiri hiyo walisikia sauti ya paka akilia kutoka kwenye mti huo uliopo kandokando ya Barabara ya Mtawara inayoelekea Kichangani na Mji Mpya.





Watoto wakishudia tukio hilo la kushangaza.
“Tulifika hapa msikitini kwa lengo la kuswali Swala ya Alfajiri kwa kuwa bado kulikuwa na giza hatukuweza kumwona, lakini tulisikia akilia kwa kupiga kelele mfululizo.
“Tuliposogelea tulimwona akiwa juu ya mti huku amevishwa hirizi kubwa ya rangi nyeusi. Haya ni mambo ya kishirikina, tena tuna wasiwasi hata wa maisha yetu.
“Unajua eneo hili lina miti mingi lakini wahusika wamekuja kumpigilia misumari paka huyu hapa. Mimi nasema wasakwe hawa watu tuwajue,” alisema muumini mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Abdallah Said.
Umati wa watu wakishudia tukio hilo linalohusishwa na ushirkina.
Naye mjumbe wa kamati ya utendaji ya msikiti huo, Haji Said Dihole alipohojiwa na mwanahabari wetu alisema:
”Kama kuna mtu alitaka kutujaribu angemuweka paka huyo kwenye eneo letu la msikiti angeipata habari yake, pia nasikia tukio kama hili liko kwa majirani wetu pale Kanisa la T.A.G Mwembesongo, nenda kashuhudie.”
Paka huyo baada ya kutolewa mtini.
Baaada ya kupata taarifa hizo, mwandishi wetu alifunga safari hadi kwenye Kanisa la Tanzania Assemblies of God ‘T.A.G’ linalofahamika kwa jina la Bethel Revival Temple lililopo Mwembesongo. 
Mwandishi wetu hakumkuta paka lakini wananchi wa eneo hilo walipoulizwa walikiri kuwepo kwa paka huyo kwenye mtaa huo lililopo kanisa hilo lakini aliondolewa.
Baadhi ya wananchi wakimwangalia paka huyo kwa karibu zaidi.

Haikufahamika mara moja mtu aliyeamua kuweka paka hao kwenye maeneo ya jirani na nyumba za ibada alikuwa na malengo gani.
Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka: BONYZA HAP CHNI
During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip KUJUA SEHEMU 12 ZINAZOMPA RAHA MWNAMKE WAKATI WA TENDO BONYZA HAP CHNI
Newer Posts Older Posts
© Copyright RAHA ZA MAPENZI Published.. Blogger Templates
Back To Top