Featured

Picha za Shilole akiwa katika show huko nnje Zazua Gumza Mtandaoni, Mchumba Wake Nuhu Mziwanda Asema Haya Kumtetea



I love you is My Country aka Shilole Kiuno Amejikuta tena leo akiwa Gumzo la watu mitandaoni baada ya picha zenye utata akiwa jukwaaa kuzagaa kwenye mitandao mbali mbali na kujadiliwa hasa Instagram.....

Baada ya Picha hizo Kusambaa Mpenzi wake aliingia mtandaoni na kuposti haya maneno kumtetea:


"Show ni movement na uwezi mkataza mtu kupiga picha ukiwa kwa stage'na kuna nguo za show na nguo za kutoka out kikawaida'ukiruka ruka sana sidiria ni rahisi kuchomoka akina dada mnafaham na mtu yupo stejini anakua hajitambui kama nini kimetokea coz yupo stejin kwenye mood ya kazi na kila mtu ni binadamu na ndio mana wengine wanateleza kwa stage'huyo paparazi aliopiga picha alifanikiwa kuzoom na kipata picha mbaya lakin katika hali ya kawaida na watu waliokua wakicheza nae hawakuweza kugundua lolote'na kiubinaadamu kama muhandishi wa habari hakupaswa kuchagua picha ambayo kaonekana vibaya mana naamini alipata picha nyingi nzuri tu za kupost ila aliamua tu kumchafua'So Mashabiki kumbukeni alikua yupo kazini hakupanga itokee ivyo na yote mradi atoe burudani nzuri kama mlivyomzoea''ambae hana upeo mdogo wa kufikiria ataongea shit ila kaa jiulize ingekutokea wewe ungesemaje?naomba mtusaidie kurepost hii habari'tunawapenda sana"

Haya ni Baadhi ya Maoni ya watu mbali mbali waliokasirishwa na Picha hizo:


MrekebishaTabia
Sitaman hata kuibandika hii picha hapa...kichefuchefu!! hii tabia chafu iliyopitiliza...na si mara yako ya kwanza @shilolekiuno unafanya vituko tadhan mtoto mdogo wkt mtu mzima na watoto wakubwa. Si bahati mbaya amefanya kusudi... mtu mwenyewe kuimba hujui na hata kujiheshimu unashindwa? Kale kaheshima kadogo ulikonako kwa shabiki zako utakapoteza, soon tutasikia umerudi kucheza tamthilia. ....Sijui umekunywa pombe za wapi wewe...!!!


Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka: BONYZA HAP CHNI
During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip KUJUA SEHEMU 12 ZINAZOMPA RAHA MWNAMKE WAKATI WA TENDO BONYZA HAP CHNI
Newer Posts Older Posts
© Copyright RAHA ZA MAPENZI Published.. Blogger Templates
Back To Top